Proscovia Alengot Oromait: Msichana mwenye miaka 19 aliyeshinda ubunge!!
― Proscovia Alengot Oromait wa nchini Uganda ameweka rekodi barani Afrika kwakuwa mbunge mwenye umri mdogo kuliko wote kwa kuingia mjengoni akiwa na miaka 19 tu. ∙ Kama unadhani aliupata kwa viti maalum, futa wazo hilo kwakuwa msichana huyo ameshinda kwenye uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge kilichokuwa kikikaliwa na baba yake. ∙ Awali Oromait alikuwa amepanga kwenda chuo lakini aliamua kuingia kwenye siasa baada ya kifo cha baba yake Michael Oromait mwezi July, aliyekuwa mbunge wa [...].










