Sir Andy Chande: Ufreemason haumuingizii mwanachama hela yoyote
― sir chande Umechoka kusikia habari za Ufreemason? Tunaamini jibu ni ndio. Lakini hebu chukua muda kufahamu ukweli kiduchu tu kutoka kwa kiongozi mstaafu wa jamii hiyo nchini Tanzania, Jayantilal Keshavji Chande maarufu kama Sir Andy Chande ili uanapo vichwa vya habari vya magazeti ya udaku vinavyowaita baadhi ya wasanii wa Bongo Flava mafreemason (kutokana na kununua gari za milioni 70 wakati hata wakulima wa kahawa mkoani Kagera wanaweza kumudu kununua), na uweze kuwaelimisha kidogo wanaoamini [...].









